KIJANA AFARIKI AKIWA ANASHIRIKI TENDO LA NDOA
_________________________
BURUNDI 🇧🇮
Umuonae pichani Anaitwa Ikoriciza Eric kijana mwenye umri wa miaka 23 amefariki dunia huku akiwa akijamiana ( ku sex) na binti mwenye umri wa miaka 17 (Kitoto cha2OOO)aitwae Kezimana Grace.
🗣️ Inasemakana kua kifo chake kilisababishwa na vidonge ambavyo alitumia kwa lengo la kuongeza nguvu za kiume maarufu Burundi vinavyoitwa (Viagra💊)aka paka na Vumbi la Congo ..yani kala kidonge afu kapaka na Vumbi la Congo at the same time.
📺Alisema Bint..
« Sijui chochote Mimi tulivyokua tunashiriki tendo nilimwona mwenzangu analala Fofofo» Grâce Kezimana Amesema ``
🙍♀️⛓💥Kezimana Grace kwa sasa amewekwa ndani kwa uchunguzi zaidi kuhusu kifo cha mpenzi wake Eric .
-Serikali imekataza vijana kutumia vitu vya ziada kuongeza nguvu za kiume laa hasha wale vzr wafanye mazoezi kuepuka madhara km aya.
__________________________________________________
Kwa kupata tiba sahihi sahihi kupitia virutubisho asilia kwa kutibu nguvu za kiume , ume kulegea, mbegu dhaifu, nk.
Piga simu 0626908654
Dar es salam


Comments
Post a Comment