Sulomy Herbal Center SULOMY HERBAL CENTER Herbal Solutions kwa Afya ya Mwili & Ustawi wa Mwanamke Agiza WhatsApp Bidhaa Zetu ZanSulomy Premium Sea Moss Sea moss ya asili kutoka Zanzibar kwa afya ya mwili na detox. 💰 30,000/= kwa kilo 1 Agiza Sasa ZanSulomy Sea Moss Wellness Capsules (60) Vidonge vya asili kwa usawa wa mwili na detox. 💰 25,000/= Agiza Sasa Sulomy Herbal Pelvic Balance Powder Husaidia afya ya uzazi wa mwanamke na usawa wa homoni. 💰 40,000/= Agiza Sasa Eternal Herbal Toothpaste Huduma ya afya ya kinywa na kuondoa harufu mbaya. 💰 25,000/= Agiza Sasa Mawasiliano 📍 Kitunda, Dar es Salaam 📞 0626 908 654 📱 WhatsApp: 0759 438 870 Wasiliana Sasa
Soma hadi mwisho kama unahitaji kupona bawasiri. BAWASIRI INAKUSUMBUA? Je, unapata maumivu wakati wa kujisaidia, kutokwa na damu au uvimbe sehemu ya haja kubwa? Bawasiri ni tatizo linaloweza kuathiri maisha ya kila siku na kusababisha usumbufu mkubwa ikiwa halitapatiwa ufumbuzi mapema. DALILI ZA BAWASIRI ✔ Maumivu wakati wa kujisaidia ✔ Kutokwa na damu wakati wa haja kubwa ✔ Kuwashwa au kuungua sehemu ya haja kubwa ✔ Uvimbe au vinyama vidogo sehemu ya haja kubwa ✔ Kukaa kwa muda mrefu kuwa na maumivu MADHARA YA BAWASIRI ❌ Maumivu makali ya mara kwa mara ❌ Kupoteza damu na kuishiwa nguvu ❌ Kushindwa kukaa kwa muda mrefu ❌ Kupungua kwa ufanisi kazini na kwenye shughuli za kila siku ❌ Kuathiri hali ya kujiamini na maisha kwa ujumla Usipuuzie dalili! Bawasiri unaweza kuanza taratibu lakini ukasababisha maumivu makali, kutokwa na damu wakati wa haja kubwa, kuwasha na uvimbe sehemu ya haja kubwa. ❗ Baadhi ya sababu za bawasiri ni: ✔️ Kufunga choo kwa muda mrefu (constipation) ...