FOLIC ACID
Folic acid
Lishe ya Folic Acid inatokana na mimea ya asili Alfafa na Green Algae. Kwa pamoja a lishe hii inaundwa na madini kama Folic Acid, , Iron na Calcium na inayeyuka haraka mwilini.
Madini ya chuma Iron' husaidia katika kuzalisha kinga mwilini na kuimarisha afya na pia inatumika katika uzalishaji kemikali ya 'Haemoglobin' katika damu.
Husaidia ini kuweza kufanya kazi vizuri na kuweza kuhifadhi vitamin B mwilini.
Madini ya Calcium husaidia kuimarisha mifupa na meno. Kuzuia mishipa ya damu kukaza. Madini ya Calcium yanasaidia kurekebisha msukumno wa damu na mapigo ya moyo mwilini.
Folic Acid ina virutubisho vyenye asili ya Vitamin B husaidia kulinda mwili kutokana na homa 'Anaemia' na kulinda viasili vya DNA visiharibiwe na kemikali. Pia husaidia kuzuia magonjwa katika mishipa ya damu inayopeleka damu katika moyo na kichwa. Ni nzuri kwa kina mama wenye homa, wajawazito, wanaonyonyesha na wanaotarajia kupata ujauzito. Na inashauriwa makundi haya yanatakiwa
kutumia wastani wa miligram 400 za Folic Acid kila siku kwa makuzi salama ya mtoto na kuzuida mimba kuharibika mara kwa mara.
Njia rahisi ya kufikia lengo hili ni kumeza
vidonge aina ya Multi Vitamin B Complex na vidonge vya Folic Acid. Pia inafaa kutumiwa na watu wenye matatizo ya kuumwa na kichwa muda mrefu, kizunguzungu, uchovu usiokwisha, ni nzuri kwa wanafunzi wenye uwezo mdogo
darasani.
Tafiti zinaonyesha kwamba Folic Acid inapunguza uwezekano wa kupata kansa, maradhi ya moyo 'stroke' na matatizo ya mfumo wa fahamu ya kiwemo kupoteza kumbukumbu.
>>Watumiaji:
1) Nzuri kutumiwa na wasiotumia mboga za majani mara kwa mara.
2) Inawasaidia zaidi akina mama wajawazito, wanaonyonyesha na wanaotegemea kupata ujauzito.
3) Wanaosumbuliwa na homa mara kwa mara na maradhi ya viganja na miguu kushikwa na ganzi na baridi kali.
4) Ni nzuri kwa wale wanaochoka choka haraka na mwili kukosa nguvu.
5) Wanaosumbuliwa na maumivu ya kichwa, kizunguzungu na kupoteza kumbukumbu kwa kiasi kikubwa na uwezo mdogo (hasa wanafunzi) kiakili.
>Matumizi
Meza mara mbili kwa siku, vidonge viwili kila mara.
Meza kwa kutumia maji ya vuguvugu, mara baada ya kula.
>Angalizo
Bidhaa hii si mbadala wa dawa.
Watumiaji wanashauriwa wasizidishe kiwango cha kawaida cha matumizi yaliyopendekezwa.
Pia iwekwe mahali pakavu, pasipo na joto kali na pasipofikiwa na watoto kwa urahisi.
.................................................
Kwa mawasiliano zaidi
Call : +255 626 908 654
+255 718 958 410
Dar es salam- Tanzania

Comments
Post a Comment