Skip to main content

MUHANGA MKUU WA PID NI MWANAMKE


PID NI UGONJWA GANI.?

Ugonjwa wa PID Hauwezi Mpata Mwanaume Bali Mwanaume Anaweza kumwambukiza Mwanamke Ugonjwa huu wa PID. Maambukizi ya via vya uzazi vya mwanamke au ugonjwa wa PID "Pelvic inflammatory disease" Ni maambukizi ya bacteria kwenye Shingo ya uzazi, Mirija ya fallopia, Ovari na Tumbo la uzazi (Uterusi). Sababu kuu ya ugonjwa huu wa (PID) ni maambukizi yanayo sambazwa kwa kujamiiana (STIs). Dalili za ugonjwa huu wa (PID) huweza kujumuisha, Maumivu ya nyonga, Maumivu ya tumbo chini ya kitovu, Maumivu wakati wa tendo la ndoa, Homa kali, Na uchafu mzito mweupe na wenye harufu mbaya kutoka ukeni. Utambuzi wa ugonjwa huu hufanywa kulingana na dalili na uchunguzi wa sehemu za siri, Katika uchunguzi wa kitaalamu sampuli za majimaji au usaha huchukuliwa ili kutambua bacteria aliye pelekea maambukizi hayo. Maambukizi ya via vya uzazi vya mwanamke (PID) hutibiwa kwa antibiotics, Kumbuka kwamba tiba ya ugonjwa huu hutofautiana kulingana ukali wa maambukizi, Hivyo basi usi kariri dawa, Ikiwa maambukizi nikali itahitajika kupatia tiba ya antibiotics kwa sindano nasio vidonge tena. Kama maambukizi yamepelekea usaha kukusanyika, Uvimbe na makovu kwenye mirija ya uzazi (Fallopian tube) Upasuaji utakuhitajika. Fahamu kwamba watu wengi hupona vizuri kabisa baada ya matibabu sahihi na maambukizi hayapelekei matatizo ya muda mrefu, Ikiwa sasa haujazingatia tiba vizuri maambukizi yakajirudia, Au kutopatiwa tiba kabisa basi kuna uwezekano mkubwa wa kupata madhara zaidi. NA hata kupelekea mwanamke kuwa mgumba, Kutopata kabisa mtoto na Mvurugiko wa homoni mwilini. Njia muhimu ya kuzuia maambukizi ya via vya uzazi vya mwanamke ni kuepukana na wapenzi wengi, kutumia kinga wakati wa tendo, Endapo kama umegundulika na maambukizi ya (STIs). Nimuhimu kupatiwa matibabu pamoja na Mwanaume wako.
ZINGATIA AFYA ⚖

Kwa kupata matibabu wasiliana nasi.
+255 626 908 654

Comments

Popular posts from this blog

ZAN SULOMY SEAMOSS - UNGA WA MWANI ZANZIBAR

10,000/= Nunua hii Unga wa Mwani Halisi Kutoka Zanzibar kwa Afya na Kinga ya Mwili 20,000/= Nunua hii Ongeza Nguvu, Kinga ya Mwili na Afya Bora kwa Zan Sulomy Sea Moss, una madini ya asili zaidi ya 92, unakosaje kuweka imara ulinzi wa mwili wako.  Mwani ni zao la baharini, huota kwenye myamba ya bahari, na juu ya bahari, mwani una madini zaidi ya 90 muhimu kwa afya ya mwanadamu. 25,000/= Nunua hii Unga wa mwani unapatikana kwetu kwa ujazo tofauti, unga huu unatoka zanzibar upande wa pemba. Agiza sasa Je, unahisi uchovu mara kwa mara? Kinga ya mwili iko chini? Unataka kirutubisho asilia salama cha kuongeza nguvu na afya? Suluhisho ni Zan Sulomy Sea Moss – Mwani halisi kutoka Zanzibar wenye madini zaidi ya 90 muhimu kwa mwili. Weka oda yako sasa FAIDA ZA KUTUMIA MWANI ✔ Huongeza kinga ya mwili ✔ Husaidia afya ya tezi (thyroid) ✔ Huboresha nguvu za mwili ✔ Hupunguza uchovu ✔ Huboresha mmeng’enyo wa chakula Hii ni Bidhaa asilia 100% Imetengenezwa kwa viwango vya afya Inatumiwa na wateja...

SULOMY PELVICLINE POWDER (DAWA YA PID)

SULOMY PELVICLINE POWDER Ondoa Maumivu ya Tumbo Chini na Tatizo la PID kwa Njia ya Asili WENGI WAPO HATARINI KUPATA UGUMBA PASI NA KUJIJUA PID: ni ugonjwa hatari uliosababishwa na mashambulizi ya bakteria kwenye njia za uzazi za mwanamke.  Ugonjwa huu una madhara makubwa iwapo kama haujatibiwa mapema.  Je, unasumbuliwa na: - Maumivu ya tumbo chini mara kwa mara? - Uchafu usio wa kawaida ukeni? - Hedhi kuvurugika? - Harufu mbaya au maumivu wakati wa tendo? - Kuambiwa una PID lakini tatizo haliponi kabisa? Usijali tena… Sulomy PelviCline Powder imeandaliwa kwa mchanganyiko wa mimea tiba maalum kusaidia kusafisha na kuimarisha mfumo wa uzazi wa mwanamke. 40,000/= Sulomy PelviCline Powder ni nini? Ni unga wa asili (100% Herbal) uliotengenezwa kusaidia: ✔ Kupunguza maumivu ya tumbo chini ✔ Kupunguza uchafu ukeni ✔ Kusaidia kurekebisha mzunguko wa hedhi ✔ Kuimarisha afya ya kizazi ✔ Kuongeza kinga ya mwili Kwa Nini Uchague Sulomy? ✅ Imetengenezwa kwa mimea asilia na salama ✅ Haina kemikali ...

DAWA YA KUSAFISHA TUMBO, KUONDOA GESI NA KUPATA CHOO LAINI

Unasumbuliwa na Gesi Tumboni, Choo Kigumu au Tumbo Kujaa Mara kwa Mara? Suluhisho la Asili la Kusafisha Tumbo, Kupunguza Gesi na Kufanya Choo Kiwe Laini Ndani ya Siku Chache. Dawa ya asili yenye nguvu ya kupambambana na gesi, choo kigumu, na kusafisha tumbo. Nahitaji dawa ya kusafisha tumbo Dalili Zinazoonyesha Tumbo Lako Linahitaji Kusafishwa: Gesi tumboni mara kwa mara Tumbo kujaa na kuuma Kukosa choo au choo kigumu Kiungulia Harufu mbaya ya tumbo Kujisikia mzito baada ya kula  Kama una dalili hata 2 kati ya hizi, tumbo lako linahitaji kusafishwa. Dawa Asilia ya Kusafisha Tumbo Dawa ya asili iliyoandaliwa kusaidia: Kusafisha uchafu tumboni Kupunguza gesi Kulainisha choo Kuboresha mmeng’enyo wa chakula Salama kwa matumizi ya watu wazima. Faida za Matumizi: ✔ Husafisha tumbo kwa upole ✔ Hupunguza gesi na maumivu ya tumbo ✔ Husaidia kupata choo laini bila maumivu ✔ Huboresha mmeng’enyo wa chakula ✔ Hupunguza kujaa tumbo baada ya kula JINSI INAVYOFANYA KAZI Dawa hii hufanya kazi kwa kusa...